Taasisi ya kijamii yenye malengo ya kusaidia walio na mahitaji maalum ijulikanayo kama Madam Sophey Charity Movement kwa kushirikiana na Taasisi isiyo ya kiserikali ya Tanzania Action for Disabled zote zimegawa vitabu vya hisabati vilitolewa na Taasisi isiyo ya kiserikali ya Tanzania Action for Disabled kwa shule ya Sekondari ya Turiani iliyopo Magomeni jijini Dar Es Salaam, Madam Sophey ambaye ni muasisi wa Madam Sophey Charity Movement akishukuru kwa waliofika kwa ajili ya tukio hilo hasa muwakilishi wa Afisa Elimu wa Manispaa ya Kinondoni Mwalimu Halima kwa kujumuika na wadau walioweza kufika katika hilo.
Taasisi hii iliyoanzishwa hivi karibuni inandelea na huduma zake za kusaidia watoto walio na mahitaji maalum na walemavu imeweza kukusanya wadau ambao pia ni wajumbe wa Madam Sophey Charity Movement wanaojitolea pesa hata mali kwa ajili ya jambo hili.
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Taasisi hii iliyoanzishwa hivi karibuni inandelea na huduma zake za kusaidia watoto walio na mahitaji maalum na walemavu imeweza kukusanya wadau ambao pia ni wajumbe wa Madam Sophey Charity Movement wanaojitolea pesa hata mali kwa ajili ya jambo hili.
Mc Manyama akizungumza na wanafunzi mapema leo kabla ya tukio la kugawa vitabu kuanza nae aligawa zawadi kwa mwanafunzi aliyehiari kufanya chochote mbele ya wenzake. |
Mc Manyama akizungumza na wanafunzi mapema leo kabla ya tukio la kugawa vitabu kuanza nae aligawa zawadi kwa mwanafunzi aliyehiari kufanya chochote mbele ya wenzake. |
Picha ya pamoja ilipigwa pia |
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
0 comments:
Post a Comment