Showing posts with label WAIMBAJI. Show all posts
Showing posts with label WAIMBAJI. Show all posts

Sunday, July 19, 2020



Mtoto Yusuph toka jijini Dodoma amefika Dar es Salaam na jana July 18, 2020 amehudumu kwa njia ya wimbo katika kanisa la Waadventista wa Sabato Temeke. Mungu aendelee kumtunza na karama hii iende mbali.


MTAZAME HAPA AKIIMBA ****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***

Friday, July 17, 2020

Sisi tumeacha vyote tumeamua kukufuata wewe Bwana, tutapata nini kwako??
Ni maneno yaliyo kwenye video ya wimbo mpya ya waimbaji wa Ellen Singers toka Golani Dar Es Salaam.Kuutazama wimbo huu tazama hapa



. Waimbaji wa Ellen singers waliwahi kuwa na mipango katika utume wao wa injili ****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***

Friday, March 10, 2017

 Naomba majina yako kamili:
*Jimson Joseph Mlowe*


Unaimba sauti ya ngap?
*Baritone na backup vocal*

Je ni lini ulianza kuimba sauti hyo?
*Mwaka 2002* *Ila kuanza kuimba ndani Sonda ya Dihlu ni tangu kundi linaanza (I mean ni miongoni mwa founders of the group)*

Katika maisha yako ya kimziki je nini unakipenda kwa kikundi cha Sonda?
*Umoja, uvumilivu na unyenyekevu*

Unapata faida gani kuwepo kati ya waimbaji wa sonda?
*Kukua kiroho na kujifunza mambo mbalimbali ya kijamii*


Je ukiwa nje ya sonda vitu gan unavimis, nje kwa maana ya safar au sehem nje ya mahali waimbaji wenzako walipo na upo peke yako?
*Combination kwa ujumbe kwa sababu nakuwa najiona siko sawa kwa kiasi flani*




****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***

Thursday, March 09, 2017


****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***

 Waimbaji wa Ambassadors Of Christ wamefanya kazi kubwa ya injili kwa muda mrefu lakini mwezi wa February wameweza kuzindua DVD yao namba 14 ya HOSIYANA na kwa hakika Bwana ameendelea kuwapigania kwa hili, na katika mtandao wa Facebook wa mmoja wa waimbaji wao KJ Marcello Velosco aliandika maneno haya;-

" DVD MPYA 📀 sasa inapatikana ...Dvd 📀14 ya  jina la HOSIYANA na sasa inapatikana kwenye soko.NI KIPI CHA KIPEKEE KUHUSU DVD HII 📀?Ni kweli kwanza tumefanya mradi wenye nyimbo zikiwa kwenye lugha mbalimbali. Na nyimbo 6 ni za kiswahili, 2 Kinyarwanda nyimbo, 1 Kifaransa wimbo, 1 Lingala wimbo, na 1 Luo wimbo. Sisi kweli khushughulikia mahitaji ya wetu kwani hutofautina , sisi tunajitahidi kuchukua injili kwa watu wote, mataifa na lugha.JINA LA ALBUM NI NINI?Ni jina la HOSIYANA ni tafsiri ya kiswahili na ya Kinyarwanda ni Hoziana. Kwahakika utapenda toleo hili jipya la DVD hii lilivyotengenezwa, na kwa uhakika litabariki mioyo yenu.Unaweza kupata wapi VIDEO?Kwa sasa dvds zinapatikana katika nchi ya Tanzania Daresalaam. kwa wasambazaji waliochuliwa maalum anwani na namba za simu zinapatikana kwenye moja ya miundo ya  picha za makava ya DVD hii. Hivyo, kwa watu wetu wote nchini Tanzania, unaweza kupata nakala. marudio ijayo itakuwa Kigali-Rwanda katika mwezi wa Aprili."




****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***

Tuesday, March 07, 2017

Tunamengi tungependa kuyajua juu ya waimbaji wa Sonda Ya Dihlu, mara kadhaa tunawaona tu kwenye huduma lakini naamini kuna mambo hatuyajui juu yao hata na huduma kwa ujumla, leo tutasikia haya machache toka kwa muimbaji Elisha Peter na yeye anaimba sauti ya PILI.

 Naitwa Eliya Peter King'wena Ninaimba Sauti ya 2,  Mwaka 2011 Ndo nilianza rasmi kuimba Sonda ya Dihlu katika maisha yangu yamziki ninacho kipenda ndani ya Kundi ni kuimba tu, Faida ninayopata nikuwa karibu na Mungu kumbuka hii ni Ibada hivyo basi unapokuwa ndani lazma tu utakuwa karibu na Mungu. 
                          ----------------------------------------------------------------
 Kiukweli ninacho kimisi kikubwa sana ukiacha kuimba ndani ya Kundi ni  Picnic ukiniuliza huwa tunaenda  kufanya nini, ni Kuogelea kukimbia kidali na kupata marafiki wasio waadventista kwa njia ya kuimba.
 Pia utani Mara kazaa tukienda Elisha na Isaya huwa wao wanapendelea sana kula Ugali kipindi cha chakula wakati huo Mimi Chips mayai, kitu kinaitwa Mishikaki,kachumbali na chumvi kwambali so huwa Nawahesabia matonge ya Ugali kila mtu .
 Pia sauti yangu ninayoimba inatija kwa kikundi, japo ninaimba sauti tatu ukitoa bass, nimekuwa nikihudumu kwa sauti hii tangu kipindi cha rafiki yetu marehem Msafiri ambaye tuliimba wote sauti hiyo, na hata alipotutoka bado ninaimba sauti hii ya pili.
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***

Monday, March 06, 2017




****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***

Sunday, March 05, 2017


****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***

Friday, March 03, 2017

 Kwenye kila mafanikio changamoto hazikosi, waimbaji wa Sonda ya Dihlu wakati wa kutengeneza album yao ya pili walipata changamoto ya kifedha ambayo iliwapelekea kukosa fursa ya kwenda studio na kuifanya kazi hiyo.
Ilionekana changamoto lakini kwa upande mwingine ilikuwa ni fulsa.
                                                     ------------------------------------
  Bwana ni mwema kwani mmoja wa waimbaji wao ambaye ndiye anasolo nyimbo karibia zote, Mr Isaya alikuwa na studio ndogo ya nyumbani na wala haikuwa na vifaa vya kisasa lakini maajabu ni kwamba kazi ilitoka vizuri nakala nyingi sana zilinunuliwa na Bwana akainuliwa.
 ISIKILIZE AUDIO YA HALELUYA HAPA CHINI
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***

Thursday, March 02, 2017



****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***

Wednesday, March 01, 2017

****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Waimbaji wa nyimbo za injili nchi Tanzania toka kundi la Sonda ya Dihlu wanatarajia kutoa video yao ya kwanza mwaka huu 2017. Katika huduma yao wamefanikiwa kutoa album tatu za audio kama vile;-1. Hukumu 2 Halleja 3. Siku ya kwannza Juu Mbinguni
Bwana ni mwema hatimaye sasa zamu ya kufanya santuri muonekano imefika, ambayo inatwa PIGA MAGOTI kaa tayari kwa habari kamili na yote juu ya video album hii.


****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***

Tuesday, February 28, 2017

****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
 Bwana ni mwema wakati wote, 
Leo tunajikumbusha hili kwenye uimbaji na matokeo yake, injilileo tulibahatika kufanya mahojiano na mmoja wa waimbaji wa kundi la Sonda ya Dihlu nae akawa na haya;
"Tunamshukuru Mungu tuliweza kupata tuzo ya kundi bora la Acapela kwenye tukio la HOME COMING lililohusisha nchi saba zikiwemo Kenya, Malawi, Rwanda, Rwanda, Congo, Tanzania na Uganda na pia kwa hapa nyumbani Tanzania tulishinda tuzo za Glorious Music Awards" alisema mmoja wa waimbaji wa Kundi hili Mr Tunzo
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***

Monday, February 27, 2017



Kundi limeimarika kiroho
Pia kupitia kundi tumetoa mstoleo matatu ya santuri za kusikia (Audi cd 💿)
Pia tumeewe kumiliki Kiwanja chenye heka 3

Na pia katika kundi tumeweza kusafiri na kufanya matamasha mawili makubwa nje ya nchi Kenya  na Uganda
Pia Kenya tumeshiriki mikutano mikubwa ya wiki moja Kenyatta university 🎓
Na ndani ya nchi tumezunguka mikoa zaidi ya 8 mikubwa pamoja na Zanzibar kwaajili ya uimbaji.

Na kwasasa tunatoleo la kwanza la video 📼 DVD 📀
Liitwalo PIGA MAGOTI baada ya kutimiza miaka kumi

Tumeshiriki tamasha la kwanza la ACAPELA KWANZA wakati wa kuanzisha Acapela kwanza Kama tukio la kwanza kubwa
Na pia tukio kubwa lililofanyika uwanja wa Taifa la FOLLOW THE BIBLE Kama kundi pekee la akapela lililochaguliwa

Yakiwa Ni matukio makubwa hapa Tanzania
Na mengine madogo madogo na ya Kati ya uzinduzi wa sherehe na harusi na mikutano mingi ya effort.


****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***

Sunday, February 26, 2017

  Ilikuwa jioni ya saa mbili usiku Muhimbili Hospitali 26/02/2012 ambapo alifariki baba yangu mzazi.
 Kifo kitu cha ajabu sana.Kimsingi hakizoeleki hata kidogo.Mara nyingi huwa nimekuwa nikisikia habari za kifo hata kushuhudia mtu akifariki lakini hili la mtu wa karibu kiasi hichi wa familia tena Mzazi lilinifanya niingie katika fadhaa ya ajabu sana.Maisha hayana maana,ipo siku kila mmoja aliyehai leo atalala (kufa ) siku moja.Wakristo wapo na tumaini ng'ambo na kaburi kwa kuwa Yesu aliyeshinda kifo na kupaa atarudi tena kuja kuchukua waliowake.Wapendwa wetu waliolala katika tumaini tutawaona tena.
Hii ni audio yangu ya kwanza na huenda nikafanya zaidi hata kufanya album kabisa.
 Kazi ilifanywa Dodoma-Ararat Studio with Producer Baraka

****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
 Hii ni audio yangu ya kwanza na huenda nikafanya zaidi hata kufanya album kabisa. Kazi ilifanywa Dodoma-Ararat Studio with Producer Baraka
Audio inakuja leo hivi punde hapahapa injilileo blog 


****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
 Maana ya jina SONDA YA DIHLU

 Ni Nyota ya asubuhi kiswahili kiingereza Ni morning star
Na jina hili lilikuja baada ya njozi ya Vijana wawili Elisha Barnabas na mwenzake Samweli Kiraryo kuwa na njozi yakutaka kuimba nyimbo za kilugha tu.
Ndipo walipo liita kundi jina Hilo. Ni lugha ya kisukuma, hatukupendelea kuwa na majina yakizungu Ili kuenzi nyumbani.



****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA