Tuesday, March 07, 2017

Tunamengi tungependa kuyajua juu ya waimbaji wa Sonda Ya Dihlu, mara kadhaa tunawaona tu kwenye huduma lakini naamini kuna mambo hatuyajui juu yao hata na huduma kwa ujumla, leo tutasikia haya machache toka kwa muimbaji Elisha Peter na yeye anaimba sauti ya PILI.

 Naitwa Eliya Peter King'wena Ninaimba Sauti ya 2,  Mwaka 2011 Ndo nilianza rasmi kuimba Sonda ya Dihlu katika maisha yangu yamziki ninacho kipenda ndani ya Kundi ni kuimba tu, Faida ninayopata nikuwa karibu na Mungu kumbuka hii ni Ibada hivyo basi unapokuwa ndani lazma tu utakuwa karibu na Mungu. 
                          ----------------------------------------------------------------
 Kiukweli ninacho kimisi kikubwa sana ukiacha kuimba ndani ya Kundi ni  Picnic ukiniuliza huwa tunaenda  kufanya nini, ni Kuogelea kukimbia kidali na kupata marafiki wasio waadventista kwa njia ya kuimba.
 Pia utani Mara kazaa tukienda Elisha na Isaya huwa wao wanapendelea sana kula Ugali kipindi cha chakula wakati huo Mimi Chips mayai, kitu kinaitwa Mishikaki,kachumbali na chumvi kwambali so huwa Nawahesabia matonge ya Ugali kila mtu .
 Pia sauti yangu ninayoimba inatija kwa kikundi, japo ninaimba sauti tatu ukitoa bass, nimekuwa nikihudumu kwa sauti hii tangu kipindi cha rafiki yetu marehem Msafiri ambaye tuliimba wote sauti hiyo, na hata alipotutoka bado ninaimba sauti hii ya pili.
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Categories: ,

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA