Showing posts with label HABARI. Show all posts
Showing posts with label HABARI. Show all posts

Friday, May 06, 2022




Siku ya kesho ambayo ni sabato ya Mungu pamoja na mambo mengine itakuwa maalum kwa ajili ya kuchangia vyombo vya habari vya kanisa la Waadventista wasabato Tanzania.
Sadaka yako itasaidia katika upanuzi wa masafa ya redio ya Morning Star na injili itaweza kufika mbali na Yesu atarudi upesi. Karibu kuungana nasi kuchangia.


****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***

Sunday, July 19, 2020



Mtoto Yusuph toka jijini Dodoma amefika Dar es Salaam na jana July 18, 2020 amehudumu kwa njia ya wimbo katika kanisa la Waadventista wa Sabato Temeke. Mungu aendelee kumtunza na karama hii iende mbali.


MTAZAME HAPA AKIIMBA ****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***

Friday, July 17, 2020

Sisi tumeacha vyote tumeamua kukufuata wewe Bwana, tutapata nini kwako??
Ni maneno yaliyo kwenye video ya wimbo mpya ya waimbaji wa Ellen Singers toka Golani Dar Es Salaam.Kuutazama wimbo huu tazama hapa



. Waimbaji wa Ellen singers waliwahi kuwa na mipango katika utume wao wa injili ****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***

Thursday, July 16, 2020

Makambi mtaa wa Kahama Kati mkoani Shinyanga yameanza tangu tarehe 12 na yataisha tarehe 19 mwaka huu wa 2020. Wachungaji mbali mbali kama; Mchungaji Lucas Rugemalila, Mchungaji Nuhu Suleimani, Mchungaji Elikana Kuzenza na Mchungaji mwenyeji wa mtaa Mchungaji Reward Mmbaga. Fuatilia matukio kwa njia ya picha kwenye blog yetu. Picha zote na Presenter yohana - Matendo ya kanisa
Karibu makambi ya kahama kati 2020
Karibu makambi ya kahama kati 2020



Karibu makambi ya kahama kati 2020








****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***

Tuesday, July 14, 2020

Mtoto Yusuph ni mwenyeji wa Dodoma na mtoto wa pili katika familia yao.
Mtoto huyu alipata kufahamika zaidi pale alipoonekana akiimba wimbo wa "Tusifanane na Mafarisayo"
"Sazingine siendi kanisani kwa kukosa nguo na wakati mwingine nguo huwa ni chafu" Mtoto Yusuph alisema.



KIJANA YUSUPH ALIFAHAMIKA SANA KWA KUONEKANA KWENYE MITANDAO YA KIJAMII AKIIMBA WIMBO HUU KWENYE VIDEO HII HAPA MFAHAMU ZAIDI MTOTO YUSUPH


****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***

Monday, June 12, 2017








SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA