Tuesday, July 14, 2020

Mtoto Yusuph ni mwenyeji wa Dodoma na mtoto wa pili katika familia yao.
Mtoto huyu alipata kufahamika zaidi pale alipoonekana akiimba wimbo wa "Tusifanane na Mafarisayo"
"Sazingine siendi kanisani kwa kukosa nguo na wakati mwingine nguo huwa ni chafu" Mtoto Yusuph alisema.



KIJANA YUSUPH ALIFAHAMIKA SANA KWA KUONEKANA KWENYE MITANDAO YA KIJAMII AKIIMBA WIMBO HUU KWENYE VIDEO HII HAPA MFAHAMU ZAIDI MTOTO YUSUPH
Categories: , ,

1 comment:

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA