Showing posts with label MAHUBIRI. Show all posts
Showing posts with label MAHUBIRI. Show all posts

Sunday, March 05, 2017

Haya ni matokeo ya mahubiri ya majuma matatu ya ushindi hatimaye na hawa ni wachungaji waliomkubali Bwana kwa njia ya ubatizo na japo kulikuwa na changamoto kiasi gani. Tazama video hapa chini  wakitoa shuhuda zao. 


****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***

Saturday, March 04, 2017

Na JAMES NGAI, DOHA
 Watu 4 walipata kumpokea Bwana kwa njia ya ubatizo baada ya mahubiri ya kawaida ya kila ibada ya jumamosi na ubatizo huu ulifanywa na Mchungaji Israel Muyiwa toka Nigeria mapema leo

Historia ya kanisa hili kwa ufupi
Ghuba ya Fildi ya kanisa la waadventista wa Sabato ilianzishwa (mahali kanisa lilipo) Mei 20, 2011 kama matokeo ya kuunganisha Ghuba Sehemu ya Afrika (inahusu sehemu za nchi mbili, ambazo ni;-(Falme za Kiarabu na Usultani wa Oman) pamoja na Ghuba Sehemu ya Kaskazini (inayojumuisha Kuwait, Bahrain na Qatar). Eneo hilo lina makanisa 14, na wengi wao wako katika Falme za Kiarabu.











****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***

Friday, March 03, 2017

ITAZAME VIDEO HII HAPA CHINI






****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
 Kwenye kila mafanikio changamoto hazikosi, waimbaji wa Sonda ya Dihlu wakati wa kutengeneza album yao ya pili walipata changamoto ya kifedha ambayo iliwapelekea kukosa fursa ya kwenda studio na kuifanya kazi hiyo.
Ilionekana changamoto lakini kwa upande mwingine ilikuwa ni fulsa.
                                                     ------------------------------------
  Bwana ni mwema kwani mmoja wa waimbaji wao ambaye ndiye anasolo nyimbo karibia zote, Mr Isaya alikuwa na studio ndogo ya nyumbani na wala haikuwa na vifaa vya kisasa lakini maajabu ni kwamba kazi ilitoka vizuri nakala nyingi sana zilinunuliwa na Bwana akainuliwa.
 ISIKILIZE AUDIO YA HALELUYA HAPA CHINI
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Mchungaji David Mmbaga ni mmoja ya watoto waliozaliwa katika Hospitali ya Bugando ambayo ni moja ya Hospitali kubwa hapa Nchini Tanzania, Iliyojengwa mnamo Mwaka 1972. 
February 28, 2017. Kanisa la Mabatini kwa kushirikiana na mchungaji Mbaga walipeleka vitu mbali mbali ikiwemo vifaa tiba katika Wodi ya Watoto na chumba cha Upasuaji katika Hospitali hiyo.





****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***

Thursday, March 02, 2017



****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***

Wednesday, March 01, 2017

****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
A post shared by Injilileo Blog (@injilileoblog) on
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
A post shared by Injilileo Blog (@injilileoblog) on
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***

Tuesday, February 28, 2017

****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***

Monday, February 27, 2017



Kundi limeimarika kiroho
Pia kupitia kundi tumetoa mstoleo matatu ya santuri za kusikia (Audi cd 💿)
Pia tumeewe kumiliki Kiwanja chenye heka 3

Na pia katika kundi tumeweza kusafiri na kufanya matamasha mawili makubwa nje ya nchi Kenya  na Uganda
Pia Kenya tumeshiriki mikutano mikubwa ya wiki moja Kenyatta university 🎓
Na ndani ya nchi tumezunguka mikoa zaidi ya 8 mikubwa pamoja na Zanzibar kwaajili ya uimbaji.

Na kwasasa tunatoleo la kwanza la video 📼 DVD 📀
Liitwalo PIGA MAGOTI baada ya kutimiza miaka kumi

Tumeshiriki tamasha la kwanza la ACAPELA KWANZA wakati wa kuanzisha Acapela kwanza Kama tukio la kwanza kubwa
Na pia tukio kubwa lililofanyika uwanja wa Taifa la FOLLOW THE BIBLE Kama kundi pekee la akapela lililochaguliwa

Yakiwa Ni matukio makubwa hapa Tanzania
Na mengine madogo madogo na ya Kati ya uzinduzi wa sherehe na harusi na mikutano mingi ya effort.


****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***

****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
 Akizungumza na injilileo katika kuelezea nini watu wafahamu juu ya kitabu, Mchungaji Mmbaga amesema amepitia uzoefu katika kuvisoma vitabu mbalimbali na biblia, kupata uzoefu kwa watu mbalimbali na kujiuliza maswali mengi hasa juu ya kwanini maombi ya watu hayajibiwi au hata kwanini maombi mengine yanachelewa kujibiwa? Ndipo fursa ya kuandika kitabu hiki ikaja.
                               --------------------------------------------------------------------------
"Baada ya kugundua mambo mbalimbali juu ya maombi hata mfumo wangu wa kuomba ukabadilika ndani ya maisha yangu, kwakuwa nimeona ni hitaji kubwa la watu wengi na siwezi kuwafikia wote na kuwafundisha, ndipo nikapata ushauri kwa watu kwamba niandike watu wakasome nao watabarikiwa kwakujua namna ya kuomba" alisema Mchungaji Mmba alipoongea na injilileo hapo jana



****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***


BOFYA HAPA KUIPAKUA 



****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***

Sunday, February 26, 2017

  Ilikuwa jioni ya saa mbili usiku Muhimbili Hospitali 26/02/2012 ambapo alifariki baba yangu mzazi.
 Kifo kitu cha ajabu sana.Kimsingi hakizoeleki hata kidogo.Mara nyingi huwa nimekuwa nikisikia habari za kifo hata kushuhudia mtu akifariki lakini hili la mtu wa karibu kiasi hichi wa familia tena Mzazi lilinifanya niingie katika fadhaa ya ajabu sana.Maisha hayana maana,ipo siku kila mmoja aliyehai leo atalala (kufa ) siku moja.Wakristo wapo na tumaini ng'ambo na kaburi kwa kuwa Yesu aliyeshinda kifo na kupaa atarudi tena kuja kuchukua waliowake.Wapendwa wetu waliolala katika tumaini tutawaona tena.
Hii ni audio yangu ya kwanza na huenda nikafanya zaidi hata kufanya album kabisa.
 Kazi ilifanywa Dodoma-Ararat Studio with Producer Baraka

****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
 Hii ni audio yangu ya kwanza na huenda nikafanya zaidi hata kufanya album kabisa. Kazi ilifanywa Dodoma-Ararat Studio with Producer Baraka
Audio inakuja leo hivi punde hapahapa injilileo blog 


****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
 Maana ya jina SONDA YA DIHLU

 Ni Nyota ya asubuhi kiswahili kiingereza Ni morning star
Na jina hili lilikuja baada ya njozi ya Vijana wawili Elisha Barnabas na mwenzake Samweli Kiraryo kuwa na njozi yakutaka kuimba nyimbo za kilugha tu.
Ndipo walipo liita kundi jina Hilo. Ni lugha ya kisukuma, hatukupendelea kuwa na majina yakizungu Ili kuenzi nyumbani.



****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA