Friday, March 03, 2017

 Kwenye kila mafanikio changamoto hazikosi, waimbaji wa Sonda ya Dihlu wakati wa kutengeneza album yao ya pili walipata changamoto ya kifedha ambayo iliwapelekea kukosa fursa ya kwenda studio na kuifanya kazi hiyo.
Ilionekana changamoto lakini kwa upande mwingine ilikuwa ni fulsa.
                                                     ------------------------------------
  Bwana ni mwema kwani mmoja wa waimbaji wao ambaye ndiye anasolo nyimbo karibia zote, Mr Isaya alikuwa na studio ndogo ya nyumbani na wala haikuwa na vifaa vya kisasa lakini maajabu ni kwamba kazi ilitoka vizuri nakala nyingi sana zilinunuliwa na Bwana akainuliwa.
 ISIKILIZE AUDIO YA HALELUYA HAPA CHINI
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA