Friday, March 03, 2017

Mchungaji David Mmbaga ni mmoja ya watoto waliozaliwa katika Hospitali ya Bugando ambayo ni moja ya Hospitali kubwa hapa Nchini Tanzania, Iliyojengwa mnamo Mwaka 1972. 
February 28, 2017. Kanisa la Mabatini kwa kushirikiana na mchungaji Mbaga walipeleka vitu mbali mbali ikiwemo vifaa tiba katika Wodi ya Watoto na chumba cha Upasuaji katika Hospitali hiyo.





****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA