Thursday, July 16, 2020

Makambi mtaa wa Kahama Kati mkoani Shinyanga yameanza tangu tarehe 12 na yataisha tarehe 19 mwaka huu wa 2020. Wachungaji mbali mbali kama; Mchungaji Lucas Rugemalila, Mchungaji Nuhu Suleimani, Mchungaji Elikana Kuzenza na Mchungaji mwenyeji wa mtaa Mchungaji Reward Mmbaga. Fuatilia matukio kwa njia ya picha kwenye blog yetu. Picha zote na Presenter yohana - Matendo ya kanisa
Karibu makambi ya kahama kati 2020
Karibu makambi ya kahama kati 2020



Karibu makambi ya kahama kati 2020








****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Categories: , ,

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA