Friday, May 06, 2022




Siku ya kesho ambayo ni sabato ya Mungu pamoja na mambo mengine itakuwa maalum kwa ajili ya kuchangia vyombo vya habari vya kanisa la Waadventista wasabato Tanzania.
Sadaka yako itasaidia katika upanuzi wa masafa ya redio ya Morning Star na injili itaweza kufika mbali na Yesu atarudi upesi. Karibu kuungana nasi kuchangia.


****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Categories: ,

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA