Wednesday, March 01, 2017

Waimbaji wa nyimbo za injili nchi Tanzania toka kundi la Sonda ya Dihlu wanatarajia kutoa video yao ya kwanza mwaka huu 2017. Katika huduma yao wamefanikiwa kutoa album tatu za audio kama vile;-1. Hukumu 2 Halleja 3. Siku ya kwannza Juu Mbinguni
Bwana ni mwema hatimaye sasa zamu ya kufanya santuri muonekano imefika, ambayo inatwa PIGA MAGOTI kaa tayari kwa habari kamili na yote juu ya video album hii.


****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Categories:

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA