Friday, March 10, 2017

 Naomba majina yako kamili:
*Jimson Joseph Mlowe*


Unaimba sauti ya ngap?
*Baritone na backup vocal*

Je ni lini ulianza kuimba sauti hyo?
*Mwaka 2002* *Ila kuanza kuimba ndani Sonda ya Dihlu ni tangu kundi linaanza (I mean ni miongoni mwa founders of the group)*

Katika maisha yako ya kimziki je nini unakipenda kwa kikundi cha Sonda?
*Umoja, uvumilivu na unyenyekevu*

Unapata faida gani kuwepo kati ya waimbaji wa sonda?
*Kukua kiroho na kujifunza mambo mbalimbali ya kijamii*


Je ukiwa nje ya sonda vitu gan unavimis, nje kwa maana ya safar au sehem nje ya mahali waimbaji wenzako walipo na upo peke yako?
*Combination kwa ujumbe kwa sababu nakuwa najiona siko sawa kwa kiasi flani*




****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Categories: ,

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA