| wageni waliolikwa wakiwa wamesimama kwa ajili ya utambulisho na kupewa zawadi |
| Mnenaji wa siku hii alikuwa ni MZEE G.KITUA ambae katika mahubiri yake siku hii alisisitiza kupenda rehema na kutenda haki |
| washiriki wa kanisa wakifatilia kinachojili |
| wanakwaya wa kanisa |
| mwimbaji toka kanisa la MBEZI JUU EDNA KINANDA,mmoja kati ya walioalikwa nae akimwimbia MUNGU wake |
| mtoto akikariri fungu,moja kati ya huduma iliyofanyika siku hii |
| mtoto akikariri fungu |



0 comments:
Post a Comment