Thursday, April 17, 2014



Family music ni  moja kati ya vikundi vya uimbaji  kinachoundwa na jumuia ya vijana waadventista wa sabato kutoka katika maeneo mbalimbali ya Union ya Kusini mwa Tanzania wakiongozwa na ndugu Ike Eric ambaye ni mwenyekiti wao.





Albam hii imebeba jina la 'Usihuzunike' ina nyimbo nane ambazo ni , 

  • Tazama Nasimama

  • Twakusifu

  • Ninaimba  wema wa Mungu.na nyinginezo

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA