Sunday, April 20, 2014

Ni tukio lilikuwa na ugeni mkubwa toka viongozi wakubwa wa kanisa la waadventsita wasabato Tanzania union,Conference na General conference...
Wito ukiwa ni kuzidi kuchangia maandalizi ya mwisho kabisa na takribani wiki mbili zijazo,matangzo yaanze onyeshwa..

BENJAMIN SCHOUN MAKAMU WA MWENYEKITI WA WADVENTISTA WASABATO DUNIANI AKIWA NI MGENI RASMI,HAPA AKITOKA MARA BAADA YA HUDUMA KUU


KWAYA YA KINONDONI SDA CHUCRH WAKIJIANDAA KUIMBA SIKU HII YA LEO



Pr.Rwekundayo-mwenyekiti north Tanzania union mission(wakwanza kushoto) Pr. James Machange South Tanzania Union - Executive Secretary(katikati),Mr. Jack Manongi South Tanzania Union Mission- Treasurer(kwanza wa kulia)



HAPA NDIPO MCHUNGAJI  SCHOUN AKIZINDUA TELEVION YA MORNIG STAR KWA KUBOFYA KITUFE CHA KWENYE LAPTOP 

Mkurugenzi wa Vyombo vya Habari vya Kanisa hilo Tanzania Mch Mussa Mika


Mkurugenzi wa Vyombo vya Habari vya Kanisa hilo Tanzania Mch Mussa Mika akitoa ufafanuzi juu ya jambo 


0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA