Wednesday, June 25, 2014

Makambi ya Mtaa wa Nyamanoro-Mwanza 2014 yanaendelea yanayojumuisha makanisa ya Nyamanoro, Lumara, NyasakaPPF, na Kiseke. Wote walio karibu mnakaribishwa.  
picha na MUSA NZUMBIJr



Pr Ntabindi akiwa na Wagane na Wajane wakati wa mgawanyiko


KIBAO ELEKEZI KUKAA KWA KWAYA YA LUMALA


Wahudumu wa makambi wakiwa na kwaya ya Lumara


KIBAO ELEKEZI KUKAA KWA KWAYA YA NYASAKA




sehemu ya waliokambika

wakati wa ibada kuu j4


Pr Nzumbi akiwa na Vijana wakubwa wakati wa mgawanyiko


Hii ni kwaya ya Lumara SDA


hii ni kwaya ya Nyamanoro SDA


Pr Elias Shija akiendesha kipindi cha mafundisho makuu


sehemu ya wanakambi

mahema ya wanakambi


Huduma ya makambi kwa watoto. ndani ya kanisa la Nyamanoro




HII NI KWAYA YA KISEKE SDA

Pr Shija akiwa na wana ndoa changa wakati wa mgawanyiko




sehemu ya vijana wakisikiliza semina wakati wa mgawanyiko


KIBAO ELEKEZI KUKAA KWA KWAYA YA NYAMANORO


Pr Ayubu Ndulu akiwa na wanandoa Kongwe wakati wa mgawanyiko


*** TUMA PICHA NA HABARI KWA WATSUP SASA NO 0717-367 693***
Categories:

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA