Thursday, November 27, 2014

Mwimbaji Nuru Kitambo ameongea na injilileo Blog na kusema kuwa maandalizi ya albamu mpya yanaendelea vizuri na albamu hii itakuwa na nyimbo kumi na kufanyiwa maandalizi chini ya studio ya Omega Production mzalishaji(producer) ni Amri Hingi na mwisho alimalizia kwa kusema kwamba"kwa neema ya Yesu mwezi wa pili mwakani itakuwa sokoni"
Mwimbaji wa nyimbo za injili Nuru  Kitambo
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA