Kanisa la Waadventista Wasabato la Mtwara linatarajia kufanya changizo maalumu kwaajili ya kumalizia ujenzi wa Kanisa. Katika changizo hilo, zaidi ya shilingi 51,000,000/= (Milioni hamsini na moja) za Kitanzania zinahitajika ili kukamilisha ujenzi huo.
==============
Baadhi ya mahitaji yanayotakiwa ni Mabati ya migongo mipana, Sealing board, Feni+AC, Kuingiza umeme wa 3 phrase, Ujenzi wa vyoo vya kisasa na ujenzi wa ofisi za kanisa.
Unaalikwa kuwa sehemu ya watakao hudhuria katika ibada hiyo maalumu ya kumjengea Bwana hekalu lake.
HABARI NA http://www.mtwarasda.org/
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***




0 comments:
Post a Comment