Sunday, December 28, 2014


Kanisa la Waadventista Wasabato la Mtwara mjini limehitimisha mwaka kwa huduma ya meza ya bwana iliyofanyika tarehe 27/12/2014 ambayo ni sabato ya 52 na yamwisho kwa mwaka 2014.
Angalia picha za matukio yaliyo jiri kwenye Sabato hii yapekee.








****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0789 243 413 NA 0717 367 693***

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA