BWANA asifiwe Pr. Nicanor Kikiwa amefika New Delhi
Jana aliondoka Tanzania saa nne asubuhi na SAA saba usiku alifika mumbay akakaa mpaka SAA 6:25 akapanda ndege nyingine kwenda new Delhi na kufika saa 8:30 asubuhi ambapo yupo hapo hadi sasa akisubiri matibabu.
pamoja naye wamekwanda na mke wake pamoja na Dr. Alex Magufwa
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0789 243 413 NA 0717 367 693***
Jana aliondoka Tanzania saa nne asubuhi na SAA saba usiku alifika mumbay akakaa mpaka SAA 6:25 akapanda ndege nyingine kwenda new Delhi na kufika saa 8:30 asubuhi ambapo yupo hapo hadi sasa akisubiri matibabu.
pamoja naye wamekwanda na mke wake pamoja na Dr. Alex Magufwa
FAMILIYA YA MCH. NEHEMIA KIKIWA MCHUNGAJI MSTAAFU INA TOA SHUKRANI KWA
MAOMBI YAKO NA MICHANGO. NA KUKUOMBA TUENDELEE KUOMBA NA KUCHANGA.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAKE AKIWA AIRPORT===>
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAKE AKIWA AIRPORT===>
![]() |
| Kulia ni Harun Kikiwa akiwa na Nicanor Kikiwa katika uwanja wa Ndege wa Mwl Nyerere DSM |
![]() |
| Nicanor Kikiwa akiwa na wanafamilia kwenye uwanja wa ndege DSM |
![]() |
| Nicanor Kikiwa akiwa na wanafamilia kwenye uwanja wa ndege DSM |
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0789 243 413 NA 0717 367 693***








0 comments:
Post a Comment