Mkutano mkuu wa Vijana,Master Guide pamoja
na Wanafunzi wa vyuo vikuu wa Afrika mashariki ulio andaliwa Baratoni
nchini Kenya unaendelea vizuri huku Mgeni Rasmi Ndugu.Baraka Muganda
Kutoka Marekani akiwapa vijana masomo yanayo watia nguvu vijana kuweza
kusonga mbele juu ya changamoto za Maisha kwa ujumla na Huduma kwa Yesu, pamoja na hayo Wageni wengine walioambata na Mgeni Rasmi ni Bibi. Sarah Serum Mhazini Mkuu Kutoka Union ya Kenya na ECD Secretary Nathaniel Werema
 |
| Mgeni Ramsi Ndugu. Baraka Muganda akitoa ombi la Ufunguzi wa Mkutano wa ECD | |
 |
| Bibi.Sarah Serum akitoa hotuba fupi katika mkutano wa ECD |
 |
| Ndugu.Baraka Muganda kutoka Marekani akitoa somo juu ya Razaro |
0 comments:
Post a Comment