Na Mwandishi wetu
Maneno hayo yamesemwa na Mchungaji Stephen Letta katika
Sabato ya kwanza ya mwaka 2015 yakitolewa kama somo kuu la Sabato iliyofanyika
siku ya tarehe 3/1/2015 katika viwanja vya Kanisa la Waadventista Wasabato
Manzese.
===========
Sabato hii ilihudhuriwa na washiriki wa mtaa wa kanisa la Manzese SDA toka makanisa yanayounda
mtaa huo kama vile;-Tandale,Sinza na Manzese yakiwa chini ya uongozi wa
Mchungaji wa mtaa,David Mbaga.Pamoja na mambo mengine ibada hii iliambatana na
utoaji wa shukrani kwa Mungu kwa yale yote aliyoyatenda kwa washiriki hasa
kufika mwaka 2015 wakiwa wazima.
Pamoja na huduma za siku hiyo,kulikuwa na maombezi
yaliyotolewa na mhudumu mkuu wa siku hiyo ambaye ni Mkurugezi wa Huduma toka
Union ya Kusini mwa Tanzania,Mchungaji Stephen Letta ....




0 comments:
Post a Comment