Wednesday, February 04, 2015

Kikosi cha Watafuta njia (PFC) kikitoa heshima ya ukakamavu mbele ya wageni.
Baadhi ya Wageni wakiendele kuwasili katika maeneo ya uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Tanzania
dondoo za Idara ya Afya
Moja ya banda la maonesho ya bidhaa
Watu wakiendelea kupata maelezo katika banda la Adventist University of Africa
Banda la Bupandagila High School

Washiriki kutoka nchini Kenya wakipita mbele ya wageni

Washiriki kutoka nchi mwenyeji ya Tanzania  wakipita

Sherehe za utume kwa wiki ya mwisho mapema leo zimeanza kwa matukio ya huduma za uimbaji na baadaye kulifanyika mapokezi ya viongozi mbalimbali akiwepo Mwenyekiti wa Division ya Afrika Mashariki na kati ya kanisa la waadventista wasabato Mchungaji Dr.Blasious Ruguri akiambatana na makamu wa rais toka nchini Marekani.
Sherehe hizi zinahudhuriwa na washiriki toka nchi takribani 11 toka Afrika Mashariki na Kati na leo wamepita kwa maandamano wakitoa heshima na salam kwa wageni waliofika leo.

****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA