Muinjilisti Mophat akitoa neno |
Roho hizo zinategemea kubatizwa siku ya Jumamosi kwenye hitimisho la Mkutano wa Extravagaza utakao fanyika kwenye viwanja vya Taifa Jijini Dar es Salaam..
Pamoja na hilo Jana Jumamosi Familia zimekumbushwa kukumbuka Edeni nahili lililetwa katika kipindi cha kaya nafamilia ambapo familia hizo hapo juu ziliingizwa na Kikosi cha Pathfainder katika kukumbuka siku za harusi zao
Pamoja nahayo kanisa la Kimanga halikumuacha Muinjilisti hivi hivi hivyo waliweza kumuandalia zawadi na kumpa wakati wa kuagana hapo jana
Picha ya pamoja ya wainjilisti waimbaji pamoja na Muinjilist Mophat |
0 comments:
Post a Comment