Sunday, February 01, 2015

Vijana wa PFC na AC wa kanisa la Wasabato Ilala wakiwaribisha wageni mara baada ya kuwasili katika viwanja vya kanisa mapema leo Jumapili
Mch. Prof Blasious Ruguri akipata mapokezi maalum kutoka kwa kiongozi Samweli
Mke wa Mch. Ruguri mama Elizabeth akivishwa beji maalum kama ishara ya ukaribisho
Mchungaji Blasious Ruguri akivalishwa skafu na kijana wa PFC
Mch. Mark Malekana akivishwa beji ya ukaribisho
Vikosi vya AC na PFC wakienda kwa mwendo wa haraka kuwakaribisha wageni tayari kwa huduma ya kuweka kanisa wakfu

****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Categories:

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA