Thursday, February 19, 2015

Semina ya Uwakili ya Union Mission ya Kusini mwa Tanzania imeanza leo hadi Jumapili Gangilonga Iringa. Mnenaji mkuu ni Mkurugenzi wa Uwakili wa General Conference E. Punina pia mkutano semina hizo zimehudhuliwa na Wazee wa Kanisa, na Wakuu wa Huduma za Uwakili kutoka makanisa ya Konferensi za SHC, ECT, na SEC
Mkurugenzi wa Uwakili wa General Conference Pastor Erika Puni akifafanua uwakili unavyohusiana na uongofu.
Wana semina wa kiwa makini katika kusikiliza kile mnenaji mkuu anapotoa  neno





0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA