Sunday, February 01, 2015

Yared Omolo ambaye ni karani wa kanisa wa kanisa la Ilala sda akisoma historia ya ujenzi wa kanisa la tukio ya leo kwa ujumla.
Wazee wa kanisa la Ilala na wachungaji waalikwa wakifatilia tukio hili la leo
Mwenyekiti wa konferensi ya Kusini mashariki Mchungaji Mark Walwa Malekana akitoa utambulisho kwa ugeni uliofika katika tukio la leo hapa kanisani leo.
Mwenyekiti wa Union ya Kaskazini wa Tanzania Mchungaji Godwin Lekundayo akitoa salamu zake mbele ya washiriki waliohudhuria.
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Categories:

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA