Ikiwa ni kumbukumbu ya kile kilichofanyika miaka zaidi ya 50 iliyopita, leo katika jiji la Dar es Salaam Sherehe za muungano zikiongozwa na raisi wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na wageni wengi waliodhuria pamoja na wananchi zimefana. Pata angalau kilichojili kwa kutazama picha hizi..
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa na baadhi ya Viongozi wenzake wa Serikali, wakisimama kutoa heshima wakati ikipigwa mizinga 21, uwanjani hapo. |
Picha na OMR
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
0 comments:
Post a Comment