Saturday, October 10, 2015

Kulia ni Bi Harusi Leonila akiwa na msimamizi wake Bi Sharoni walikuwa kwenye gari la maharusi mapema leo asubuhi katika viwanja vya Kanisa la Kimara sda.
Kwaya ya vijana ya kanisa la Kimara sda walipokuwa wanaingia kwa maching.
Kwaya ya vijana ya kanisa la Kimara sda walipokuwa wanaingia kwa maching.

Kulia ni Bwana harusi akisema jambo na aliyeshika maiki ni msimamizi wa Bwana harusi Mr.Eliya Kisika na aliye na miwani ni Mchungaji aliyekuwa anafungisha ndoa Mchungaji Rahis Mande.


Kaka wa Bi harusi alipokuwa anamtoa dada ake kwa Bw. Erasto


Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Categories:

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA