Friday, November 27, 2015

Yamesalia masaa machache kuifikia Sabato ya tarehe 28, ambayo ni sabato maalum ya uimbaji katika shule ya msingi Kongowe, shule inayomolikiwa na kanisa la Waadventista Wasabato iliyopo Kongowe Pwani.

Pamoja na waimbaji wengi watakaoshiriki katika siku hii, pia watakuwepo Glory Land Singers kutoka katika kanisa la Waadventista Wasabato Tegeta jijini Dar es Salaam, Faraja Singers ya Kongowe kati, Kwaya ya Nuru ya Kongowe na Kwaya ya Shule ya Kongowe.

Kama unahitaji muziki wa Kikristo, KARIBU KAPS JUMAMOSI HII.

****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Categories:

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA