Mchungaji Ted Wilson. Mwenyekiti wa Kanisa la Waadventista Wasabato
Duniani.Mnamo Tarehe 13/05/2016 alifungua rasmi Mikutano ya Injili Zaidi
ya 2300. Itakayo fanyika Nchini RWANDA.(RUANDA).
Mikutano hii imeanza Tarehe 13/05/2016 hadi Tarehe 28/05/2016.
Mahubiri haya ni ya Divisheni ya General Conference.Union yetu ya Kusini mwa TANZANIA inawakilishwa na watu 7 ambao ni Wachungaji.
1.Mch Mark Walwa Malekana
2.Mch Filbert Mwanga
3.Mch John Nyaibago
4.Mch David Mmbaga
5.Mch Michael Twakaniki.
6.Mch Meshark Jackson
7.Dominic Mapima
Tuzidi kuiombea sana Mikutano hii.
Picha/Habari na http://mbeziluischurch.blogspot.com/
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Mikutano hii imeanza Tarehe 13/05/2016 hadi Tarehe 28/05/2016.
Mahubiri haya ni ya Divisheni ya General Conference.Union yetu ya Kusini mwa TANZANIA inawakilishwa na watu 7 ambao ni Wachungaji.
1.Mch Mark Walwa Malekana
2.Mch Filbert Mwanga
3.Mch John Nyaibago
4.Mch David Mmbaga
5.Mch Michael Twakaniki.
6.Mch Meshark Jackson
7.Dominic Mapima
Tuzidi kuiombea sana Mikutano hii.
Picha/Habari na http://mbeziluischurch.blogspot.com/
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***









0 comments:
Post a Comment