Waziri wa nchi ofisi ya Rais utumishi na utawala bora Mh. Angela Kairuki Akifungua Rasmi mkutano wa TAiN Unao endelea hapa Kanisa la Waadventista Wa Sabato Dodoma kati lililopo Mjini Dodoma. |
Waziri ametoa Rai kwa Wana TAiN na Kanisa la Waadventista kwa ujumla
kuzingatia Maadili ya Matumizi sahihi ya mitandao mbalimbali ya habari
kulingana na Sheria ya mtandao na habari.
Mikutano hii iliyo anza jana tarehe 05/06/2016 itaendelea hadi jumamosi ya tarehe 11/06/2016
Picha& Habari na Haruni KikiwaMikutano hii iliyo anza jana tarehe 05/06/2016 itaendelea hadi jumamosi ya tarehe 11/06/2016
Jopo la maafisa wa kanisa walipokuwa wakifatilia hotuba ya Waziri Angela Kairuki (hayupo pichani) |
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
0 comments:
Post a Comment