Tuesday, August 09, 2016

  Na mwandishi wetu
Uncle Chris Buhatwa anayefahamika sana kwa mafundisho kwa vijana ambao hawajaingia kwenye ndoa, jana katika kambi la mtaa wa Manzese SDA alifundisha juu kuwa waaminifu kabla ya ndoa na akisisitiza kutofanya mapenzi holela hailipi wala haina faida kwani Mungu hapendi tabia hiyo.
Na huku akigusia sifa mbalimbali za kijana ambaye angefaa kwa mahusiano kwa upande wa vijana wa kike na wa kiume.
Kwa upande wa vijana wa kike wao ni watu wa kusikia maneno, hivyo ni muhimu kijana wa kiume anapokwenda kuongea nae kuandaa mazingira mazuri ili binti apate kuelewa. Na pia ni muhimu kwa vijana wote wakike na kiume kujipanga kifikra na kiuchumi wala sio suala la mtu mmoja.
Karibu kwenye kambi la Manzese SDA, karibu kwenye darasa la vijana.







****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Categories: ,

2 comments:

  1. Ninamshukuru sana Dk dawn acuna, aliandika uchawi wa mapenzi ambao ulimrudisha mpenzi wangu wa zamani katika masaa 48, shukrani kwake, ikiwa una hali kama hiyo.
    *Ukitaka kumrudisha mpenzi wako.
    *Kama unataka kupata mimba.
    *Ukitaka kuacha kuharibika kwa mimba.
    Ikiwa unataka kuponya aina yoyote ya ugonjwa. Na wengine,
    Wasiliana naye yeye ndiye mtu sahihi wa kutatua tatizo hili.
    Barua pepe: { dawnacuna314@gmail.com }
    Whatsapp: +2348032246310

    ReplyDelete
  2. Baada ya kuona chapisho kwenye mtandao la Jenna kutoka USA akisema jinsi alivyosaidiwa na Dk. DAWN, niliamua pia kuwasiliana naye kwa msaada kwa sababu sikuwa na chaguo nilichotaka ni kumrudisha mpenzi wangu na furaha. Kwa mshangao mkubwa mpenzi wangu alifika nyumbani akiwa amepiga magoti kwamba nitafute nafasi moyoni mwangu kumsamehe, hakika nilistaajabu na kushtuka mpenzi wangu alipopiga magoti akiomba msamaha na mimi nimkubalie tena. Kweli nimepungukiwa na maneno, na sijui ni kiasi gani cha kukushukuru wewe Dr. DAWN. Wewe ni Mungu aliyetumwa kurejesha uhusiano uliovunjika, Na sasa mimi ni mwanamke mwenye furaha. mawasiliano yake ni Whatsapp +2349046229159
    dawnacuna314@gmail.com

    ReplyDelete

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA