Monday, August 01, 2016

MBALIZI MBEYA: Kambi la Mitaa ya Mbalizi na Izumbwe ninalo fanyikia eneo la Mbalizi Mkoani mbeya limefunguliwa Rasmi
Tarehe 31/07/2016 Na Mchungaji wa Mtaa Pr. Haruni Kikiwa kwa Somo kutoka Luka 15:17 "Alipo nzingatia Moyoni mwake"
Kambi hili limeanza Tarehe 31/07/2015 hadi Tarehe 06/08/2015
MOTO WA KAMBI: NIWAKATI WA KURUDI NYUMBANI
FUNGU KUU: WAFILIPI 3:20
WIMBO MKUU: 118 "NILIPOTOKA KABISA SASA NARUDI"
Wangeni wa kambi Wote wamesha fika nao ni:
Pr. Godlove K Kaduma-Mchungaji wa Shule ya MASS
Pr. Christopher Tanda Mkama-Mchungaji wa Mtaa wa Njombe
Kwa upande wa Watoto
Master Guide. Asegelile Asajile Mwakibete-Toka Igulusi Mtaa wa Usangu na Master Yohana Mbilinyi-Toka Ubaluku Mtaa wa Usangu.








By Mwana habari wako Mchungaji Haruni Kikiwa Mchungaji wa Mtaa wa Mbalizi.


****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Categories: ,

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA