Septemba5 ni siku ya kutimiza mwaka mmoja wa huduma ya uimbaji wa kikundi cha The Healing Voice, na leo katika viwanja vya fukwe za Kijiji Kigamboni, zifuatazo ni picha za matukio mbalimbali.
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Akinyi Gomba |
Betsheba muimbaji wa Kikundi cha Born to Praise |
Rafikiel Kisaka muimbaji kikundi cha The Healing Voice |
Lucas Simon kikundi cha Born to Praise |
Waimbaji wa kikundi cha The Healing Voice kwa pamoja wakishika keki (imezingilwa) |
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
0 comments:
Post a Comment