vijana waadventista wasabato Kimanga jana pamoja na Mabalozi Temeke, Mabalozi Yombo,Vijana kutoka Mlimani,Family Music,Gethemani Pamoja na Heaven heritage waliweza kujihudhurisha mbele ya Mungu kwa Mfungo na Maombi pamoja na vijana walio alikwa kutoka sehemu mbali mbali nje na ndani ya mtaa wa Kimanga na Mwisho waliweza kuandaa futari ya pamoja.
Kwaya ya Vijana Mlimani wakiwa katika huduma ya uimbaji kwenye mfungo ulioandaliwa na kanisa la waadventista wasabato kimanga |
Kwaya ya Mabalozi kutoka Yombo wakiwa katika huduma ya uimbaji kwenye mfungo ulioandaliwa na kanisa la waadventista wasabato kimanga |
Kikundi kutoka katika kanisa la wasabato Changombe wakiimba kwenye mfungo uliondaliwa na Idara ya Vijana Kimanga |
Kwaya ya Mabalozi kutoka Temeke wakiwa katika huduma ya uimbaji kwenye mfungo ulioandaliwa na kanisa la waadventista wasabato kimanga |
Kikundi cha The Heroes kikitoa huduma ya uimbaji kwenye mfungo ulioandaliwa na kanisa la waadventista wasabato kimanga |
Kikundi cha Family
Music kikitoa huduma ya uimbaji kwenye mfungo ulioandaliwa na kanisa la
waadventista wasabato kimanga
0 comments:
Post a Comment