Angel
Magoti muimbaji wa injili akiimba solo au muimbaji binafsi, alipata
nafasi ya kuongea na injilileoTV nae alikuwa na machache juu ya tamasha
lililofanyika siku ya jana katika ukumbi wa Makumbusho Posta. Angel
alitoa yake ya moyoni ya kutokutabiri tena, hatotabiri nini na kwanini? fanya
kuangalia video hapa chini. |
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
0 comments:
Post a Comment