Monday, December 05, 2016

Rai imetolewa Kwa Waamini Wote wa Kanisa La Waadventista wa Sabato Kupeleka Injili Kwa Jamii zote, Dini zote, na Madhehebu.
Rai hii imetolewa na Pr. Godwin Lekundayo Askofu Mkuu wa Kanisa la Waadventista wa Sabato Jimbo Kuu la Kaskazini Mwa Tanzania wakati akitoa somo la Ufunguzi wa Vipindi vya Leo tarehe 05/12/2016 katika Mkutano wa East Central Africa Division AMR/AM CONGRESS unao endelea Hapa Kongowe Adventist Primary School December 04-10, 2016.
THEME: MISSION POSSIBLE.
MOTTO: CROSS-CULTURAL IS OF THE GREATEST NEED OF THE HOUR
WAHUSIKA: WACHUNGAJI NA WALEI KUTOKA NCHI 11 ZA AFRIKA ZINAZO UNDA DIVISION YA ECD.

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA