Rai imetolewa Kwa Waamini Wote wa Kanisa La
Waadventista wa Sabato Kupeleka Injili Kwa Jamii zote, Dini zote, na
Madhehebu.
Rai hii imetolewa na Pr. Godwin Lekundayo Askofu Mkuu
wa Kanisa la Waadventista wa Sabato Jimbo Kuu la Kaskazini Mwa Tanzania
wakati akitoa somo la Ufunguzi wa Vipindi vya Leo tarehe 05/12/2016
katika Mkutano wa East Central Africa Division AMR/AM CONGRESS unao
endelea Hapa Kongowe Adventist Primary School December 04-10, 2016.
THEME: MISSION POSSIBLE.
MOTTO: CROSS-CULTURAL IS OF THE GREATEST NEED OF THE HOUR
WAHUSIKA: WACHUNGAJI NA WALEI KUTOKA NCHI 11 ZA AFRIKA ZINAZO UNDA DIVISION YA ECD.
MOTTO: CROSS-CULTURAL IS OF THE GREATEST NEED OF THE HOUR
WAHUSIKA: WACHUNGAJI NA WALEI KUTOKA NCHI 11 ZA AFRIKA ZINAZO UNDA DIVISION YA ECD.
0 comments:
Post a Comment