Thursday, December 01, 2016

Siku maalum ya kuhamasisha kununua nakala nyingi za kitabu cha PENDO LISILO KIFANI ili kuwafikishia ujumbe watu wengi kwa njia ya vitabu, imefanyika jumamosi iliyopita katika kanisa la Waadventista wa Sabato Ushindi ikishirikisha wainjilisti mbalimbali toka kanda zote za Dar na Pwani.Mgeni akiwa ni mwenyekiti wa Union ya Kusini mwa Tanzania Mch. Mark W. Malekana.


















 Picha/Habari na Chabo Maphoto


****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Categories: ,

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA