Jimbo la
Mashariki kati mwa Tanzania la kanisa la waadventista wasabato limetangaza
mabadiliko la vituo vya kazi kwa wachungaji wake 22 walio ndani ya Jimbo hilo.
Mkurugenzi
wa Idara ya mawasiliano wa jimbo hilo Mchungaji Andrew Izungo amesema kuwa
mabadiliko hayo yametokana na kikao cha
Mwisho wa Mwaka cha kamati kuu ya Jimbo ya mashariki kati mwa Tanzania katika kanisa
la Waadventista Wa Sabato (ECT)
Mchungaji
Izungo amewataja waachungaji hao kuwa ni pamoja na;
Pr.Shauri-Kondoa,
Pr.Martinus-Mlali,
Pr.Manyasi-Pwaga,
Pr.Bunga-Mpwapwa,
Pr.Shayo-Kitungwa,
Pr.Kibasisi-Gairo,
Pr.Lawi-Kilosa,
Pr.Imani-Mikese,
Pr.Shashnale-Ifakara,
Pr.Bigambo-Kunduchi,
Pr.Moses - Bunju,
Pr.Charles Mjema -Mwenge,
Pr.Stephen Letta-Tegeta,
Pr.David Mbaga-Dodoma,
Pr.Bomani-Kizota,
Pr.Ombeni-Kirombelo,
Pr.Methsela (mpya)-Malinyi.
Pr.Saguda-Mkimbira,
Pr.Nzotta Imanuel - Mlimba,
Pr.Masunya-Kinondoni,
Pr.Kibaso-Jamaica,
Pr.Petro Mganda-Morogoro Mjini
0 comments:
Post a Comment