Dr. Pr. Godwin Lekundayo Mwenyekiti wa Unioni ya Kasikazini mwa Tanzania Asisitiza juu ya Umuhimu wa Total Member Involvement katika Taasisi za Elimu za kanisa la waadventista wa Sabato Tanzania.
Mwenyekiti huyu Ameyasema hayo leo Asubuhi Huko singida wakati akifungua Tanzania Education Advisory iliyo kutanishaWakurugenzi wa Elimu, Wakuu wa Vyuo na Shule wakiambatana na Wahazini na Wachungaji wa Taasisi hizo kutoka katika Union zote Za Tanzania.
Mgeni Rasmi : DR. Mike Lekic - The GC Associate Education Director
Mgeni Mweza: DR. Andrew Mutero - ECD Education Director
Maafisa wote wa Union ya Kasikazini na Kusini japo hadi sasa walio fika ni Maafisa wote wa Unioni ya Kasikazini mwa Tanzania.
0 comments:
Post a Comment