Peter akiwa Studio katika maandalizi ya moja ya kazi zake |
Muimbaji, Peter Joseph |
Marehemu Bi. Joyce hadi mauti ilipomkuta usiku wa tarehe 20/01/2017 amekuwa akisumbuliwa na maradhi ya Kiharusi na Shinikizo la damu(BP).
Mazishi yanatarajiwa kufanyika Jumapili ya Tarehe 22/01/2017 huko Nkorati, Misungwi jijini Mwanza.
Injilileo blog, itaendelea kukutaarifu kila taarifa inapokuwa imetufikia.
BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA, JINA LAKE LIBARIKIWE!
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
0 comments:
Post a Comment