Sunday, February 12, 2017

Kwaya ya Buswelu sda katika ufunguzi wa mkutano huu hapo jana.
Mchungaji Semba mmoja wa wanenaji  katika ufunguzi wa mkutano huu hapo jana.

Katibu mkuu wa NTUC Mchungaji Makoye aliposimama na kusema jambo  katika ufunguzi wa mkutano huu hapo jana.

Mchungaji Mmbaga mmoja wa wanenaji katika mahubiri ya USHINDI HATIMAYE katika ufunguzi wa mkutano huu hapo jana.
Timu ya wachungaji k na maafisa wa kanisa la waadventista wa Sabato katika picha ya pamoja katika ufunguzi wa mkutano huu hapo jana.



****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA