Thursday, July 18, 2013

Ni sabato ya vijana katika kanisa la waadventista wasabato KIMARA,siku hii vijana hawa walihudumu kuanzia bada za asubuhi kwa wahudumu kama ifuatavyo;MWENYEKITI-MOKIWA DOMINICK
                           MHUBIRI-YUSUPH AZIZ
              SOMO LA SADAKA-COLETHA JAPHET
      FUNGU KUU NA OMBI-BONIPHACE MAFURU
Baada ya ibada,vijana waliongoza huduma ya chakula kwa washiriki na wageni waliohudhuria katika vipindi hivi vya leo na kisha programs za mchana zikaanza kwa vijana kuingia kwa gwaride na kufatiwa na programs za nishani n.k

PICHANI NI WAHUDUMU WA SIKU HII KATIKA HUDUMA KUU:KUSHOTO DOMINICK MOKIWA(M/KITI) ANAYEFUATA YUSUPH AZIZ(MUHUBIRI),BONIFACE MAFURU(FUNGU KUU NA OMBI NA MWISHO COLETHA JAPHET(FUNGU LA SADAKA


WANAKWAYA YA KIMARA-SAUTI YA TATU NA YA KWANZA


WASHIRIKI WA KANISA WAKIWA KATIKA PICHA


WASHIRIKI WA KANISA LA KIMARA WAKIFATILIA HUDUMA TOKA KWA VIJANA


KWAYA YA KANISA IKIWA KATIKA HUDUMA YA UIMBAJI SIKU HII YA VIJANA.WAKIIMBA WIMBO 'KRISTO ANATUWEKA HURU'

VIJANA WAKIFANYA ZOEZI LA KUTAJA AHADI NA SHERIA


VIJANA WA KIMARA SDA WAKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA




MGUU SAWA NA MGUU PANDE:NI KATIKA GWARIDE





AREA-COORDINATOR WA VIJANA MR.ELIA KISIKA AKIWAAMRSHA VIJANA SIKU HII

GREYSON KAZUVA AKIONESHA NA KUELEZA JUU YA HIKING NA MIFANO KWA NJIA YA PICHA

KATIBU WA VIJANA:PAULINE GASPER akisoma taarifa ya kile kilichotokea huko ARUSHA katika KAMBI LA VIJANA JUNE 16-22,2013


MCHUNGAJI WA MTAA WA KIMARA,RAHISI MANDE AKITOA MACHACHE JUU YA UMUHIMU WA HUDUMA YA VIJANA NDANI YA KANISA

.....
Categories: ,

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA