Tuesday, August 13, 2013

Ilikua ni jumapili ya tarehe 11/08/2013 asubuhi njema ambapo waimbaji wa FAMILY MUSIC kutoka Mzizma SDA church walisafir hadi mkoan morogoro katika uzinduzi wa album ya TUMEKUJA HEKALUNI..

Katika uzinduzi huu vikundi mbali mbali vilihudhuri kama kikundi cha FAMILY SINGER'S kutoka Buguruni sda church,Kundi la JERUSALEM PIPERS,kwaya ya MAJENGO na nyingine nyingi walitoa huduma kwa njia ya uimbaji siku hiyo..

FAMILY MUSIC WAKITOA HUDUMA YA UIMBAJI



FAMILY MUSIC WAKIWA STEND YA MOROGORO

FAMILY MUSIC WAKIWA STEND YA MOROGORO

MC IKE AMBAYE AMEKUA AKIFANYA ZINDUZI MBALI MBALI NA HARUSI MBALI MBALI NDIYE

ALIKUA MC SIKU IYO..PIGA NO 0757464847 KWA HUDUMA YA MC


FAMILY SINGERS KUTOKA BUGURUNI WAKITOA HUDUMA YA UIMBAJI

JERUSALEM PIPERS KUTOKA MOROGORO


FAMILY MUSIC


NEEMA  KACHOPE ambaye anafahamika kwa wimbo wake "BABA TUOKOE" jumapili ya tarehe 11/08/2013 alifanya uzinduzi katika kanisa la WAADVENTISTA WASABATO KIHONDA mkoani Morogoro wa album yake mpya ya NIMEKUJA HEKALUNI

NEEMA KACHOPE

Categories:

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA