Mtaa wa KINONDONI unaundwa na makanisa kama vile MWANANYAMALA,MIKOCHENI,USHINDI NA KINONDONI pia na KUNDI LA MSASANI ambapo kwaya toka makanisa hayo watakuwa katika huduma ya uimbaji na programs mbalimbali siku hizi saba za makambi...
Katika kambi hili wageni maalum kama; MCHUNGAJI MARK MALEKANA,MCHUNGAJI NYAIBAGO NA MCHUNGAJI MLWAMBO watakuwa katika mafundisho maalum,mahubiri na mafundisho ya watu wazima katika siku hizi saba tangu leo jumapili ya tarehe 04 AGOSTI MPAKA AGOSTI 09,2013
KWAYA YA BIGWA TOKA MOROGORO WAKIHUDUMU SIKU HII MARA BAADA YA KUTOKA SAFARI...... |
KWAYA YA KANISA LA USHINDI WAKIIMBA |
KWAYA YA VIJANA KINONDONI WAKIIMBA KATIKA KIPINDI CHA UIMBAJI |
SAUTI YA KWANZA YA WANAKWAYA YA VIJANA KINONDONI |
WANAKWAYA YA MWANANYAMALA WAKIFATILIA KIPINDI CHA UIMBAJI |
KWAYA YA MIKOCHENI WAKITOA HUDUMA YA UIMBAJI |
WASHIRIKI WAKIFATILIA YANAYOJILI |
BAADA YA KIPINDI CHA UIMBAJI,VIJANA WATAFTANJIA(PATH-FINDER) WALIINGIA KWA GWARIDE NA KUONYESHA BAADHI YA PROGRAMS.... |
WAGENI RASMI WALIVISHWA SKAFU NA VIJANA HAWA WADOGO |
VIJANA WAKIWA MBELE YA WAGENI WAALIKWA |
VIJANA WAKIWAVISHA SKAFU WAGENI WALIKWA |
WAGENI MAALUM NA VIONGOZI WA KANISA WAKIANZAKAGUA GWARIDE LA VIJANA WA PF |
KIONGOZI WA PF AKIWAKARIBISHA MGENI MAALUM NA JOPO LA VIONGOZI WA KANISA KUANZA ZOEZI LA KUKAGUA GWARIDE LA PF... |
MCHUNGAJI MKOKO ALIYE VAA SUTI NA NYUMA YAKE NI MZEE WA KANISA PAUL MASANJA NA MBELE YAO NI MGENI MAALUM MCHUNGAJI MLWAMBO TOKA KANISA LA MISUFINI WAKIGAUA GWARIDE LAPF |
VIJANA WAKITOA HESHIMA KWA MGENI MAALUM |
MGENI MAALUM AKIWA NA VIONGOZI WA KANISA LA KINONDONI WAKIRUDI MAHALA WALIPOKUWEPO MARA BAADA YA ZOEZI LA KUKAGUA GWARIDE |
KWAYA YA KINONDONI WAKITOA HUDUMA YA UIMBAJI |



0 comments:
Post a Comment