Tuesday, August 06, 2013

Baada ya huduma kawaida za sabato asubuhi,na kupata chakula cha mchana,wasihriki kwa wageni walijumuika kwa pamoja katika kipindi cha uimbaji ambapo kikundi cha FAMILY MUSIC toka MZIZIMA SDA CHURCH ndio walikuwa waimbaji waalikwa na maalum siku hii ya leo..Pamoja na kwaya ya kanisa mtu mmoja mmoja walihudumu pia kwa njia ya nyimbo katika siku hii...

HEAVEN-GATES WAKIIMBA

HEAVEN GATES WAKIWA STEJINI WAKITOA HUDUMA YA UIMBAJI KWANI NDIO WALIOFUNGUA KIPINDI HIKI CHA UIMBJI SIKU HII YA LEO.....



WASHIRIKI WAKIWA MAKINI KATIKA KUFATILIA KINACHOJILI


WASHIRIKI WAKIFATILIA KATIKA KIPINDI CHA UIMBAJI


FAMILY MUSIC TOKA MZIZIMA SDA CHURCH WAKIIMBA


FAMILY MUSIC NI KIKUNDI CHENYE WAIMBAJI WENGI TOKA CHUO CHA USIMAMIZI WA FEDHA (IFM) NA WENGINE TOKA SEHEMU NA VYUO MBALIMBALI LEO WALIHUDUMU KATIKA KWAYA DAY KAMA WAGENI MAALUM.......


WAKULIA NI LINNAH NA KUSHOTO NI MINNAH -WAIMBAJI WA FAMILY MUSIC


KIKUNDI CHA KINGS' MELODY TOKA KIGAMBONI SDA CHURCH

MWIMBAJI SAUTI YA NNE WA KIKUNDI CHA KINGS' MELODY

WAIMBAJI WA SAUTI YA TATU,YA PILI NA KWANZA WAKITOA HUDUMA SIKU HII



WAPARE GROUP TOKA HAPA KANISANI KIGAMBONI


Categories:

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA