Saturday, May 31, 2014

Warren Bright "Baada ya kuhudumu nyumbani, Ushindi S.D.A Church Sabato ya leo, Jumapili 1 June 2014 V.O.V itahudumu katika Mahafali ya TUCASA Chuo Kikuu Cha Mwalimu Nyerere kilichopo Kigamboni,DSM, Karibuni wote tumtukuze Mungu kwa mambo makuu aliyo watendea wana na binti za Mungu wanao graduate katika Chuo hiki."

BAADHI YA WAIMBAJI WA KIKUNDI CHA VOV(VOICE OF VICTORY)









*** TUMA PICHA NA HABARI KWA WATSUP SASA NO 0717-367 693***
Categories:

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA