Monday, June 02, 2014

Dhumuni la picnic hii ikiwa ni kuunganisha vijana wa rika lote kwa mafundisho na michezo mbalimbali.Vijana hawa wakiongozwa na Mzee wa kanisa na mtangazaji wa morning star redio,Manase Lusaka wamejumuika kwa baadhi ya michezo katika ufukwe wa Msasani ikiwa ni moja kati ya malengo na mipango ya vijana hawa kupata mda wa kutafakari neno la Mungu wakiwa katika mazingira tofauti na kanisani kwao..
JESCA AKIWA KIJANA MDOGO ADVENTURER
KULIA MANASE NA TUMAINI(KUSHOTO)

VIJANA WADOGO WATAFUTA NJIA(PATHFINDERS) WAKIWA NA VIONGOZI WAO
SEBASTIAN MALONGOZA MMOJA KATI YA VIJANA KINONDONI SDA CHURCH...

VIJANA WADOGO WATAFUTA NJIA(PATHFINDERS) WAKIWA NA VIONGOZI WAO


*** TUMA PICHA NA HABARI KWA WATSUP SASA NO 0717-367 693***
Categories:

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA