Saturday, May 24, 2014

[PICHA NA FAMILY MUSIC]

Tunatarajia kufanya tamasha la uimbaji na utambulisho wa album yetu ya "TUTABADILISHWA" kati ya tarehe 1 au 7 ya mwezi wa saba mahali tutawajulisha..hivyo kwa vikundi vyote ambavyo mngependa kushiriki nasi katika tamasha hilo wasiliana nasi kwa 0766069030,0715464847 au tuinbox,.bwana na awabariki nyote



FAMILY MUSIC KIKUNDI TOKA KANISA LA WAADVENTISTA WASABATO MZIZIMA DAR ES SALAAM



*** TUMA PICHA NA HABARI KWA WATSUP SASA NO 0717-367 693***

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA